Skip to main content

Wema Sepetu launches her own Mobile App with her as a brand

this weekend the Tanzanian sweet heart, Wema Sepetu launched her own mobile app, becoming the first african woman in the continent to have that. Congrats to her!!!!
This is what she wrote on her instagram page,

Kwanza Kabisa nichukue nafasi hii Kusema Asante Mungu wangu kwa kunifanikisha kukamilisha kile ambacho nimekuwa nikikitamani na ambacho nimefanyia kazi kwa takribani ya miezi Mitano mpaka kufika siku hii ya leo... Lakini pia niseme Asante kwa Familia yangu yote kwa ujumla, Bila kusahau mashabiki wangu wapenzi kwa kunipa moyo wa kutokukata tamaa japokuwa kuna mengi ambayo kwa binadamu wa kawaida huwezi vumilia Ila kiukweli mashabiki wangu mmekuwa mnanipa nguvu na Courage everyday... Najisikia Fahari sana Leo hii kuwa Mwanamke wa Kwanza Barani Africa Kuwa na MobileApp inayonitangaza mimi Mwenyewe kama Content.... Kwa kutumia hii App unaweza kupata chance ya kupata zile habari zote za uhakika kuhusu Wema Sepetu... Kuna vingi ambavyo pia unaweza kupata kama Video Clips, Audio na Pictures kwa wale watumiaji wa Smart Phone... Lakini pia kwa wale wasio na Smart phone basi unapata Habari na Matukio mbali mbali kuhusu mimi ambayo sio Longo longo... Trust me with this app kuna mengi saaana mtakayoyapata... Ni Rahisi sana Una tuma Neno "Wema" kwenda namba 15404 and u are done.... Asanteni sana.... Nawapenda Mno... Huduma hii ipo Applicable kwa Mitandao Yote Tanzania.... What are u waiting for...?


Pictures from the event

we love some Wema Sepetu
with her manager, the talented Martin Kadinda, this guy got lots of brains..


With the minister

With mummy dearest. beautiful

what would be an event without bae? he must be looking at the picture and saying am a lucky guy..

Comments

Popular posts from this blog

NEW YEAR, NEW MIND

Its 2018. Am grateful to God for allowing me and my family, friends to see this year. 2017, was quite a long, challenging year for me, my mind was a battlefield that hosted the many wars that were in me, i felt helpless most of the time and it was as if everything was not working out. But at the end of the year, i was constantly telling myself that i needed to step in 2018 with a changed mind, changed attitude towards everything that has been battling in my mind, changed view of how i see life, changed mind on how i see myself and life generally. I just wanted to take control of my mind, and every situation that i can possibly control and the hardest i leave them to God. Now a new year, does not necessary make everything new, nor does the movement of the clock produce the newness of life , it is the movement in your mind that gives newness to life. Our biggest enemy we have in our lives is 'ourselves', in what we think, in what we have in our minds, and unless we take ...

Beyonce's outfit

A fashion inspiration from queen Bee. The kitenge "african prints, or ankara" is on point. Just thought that this will give someone an idea for a weekend outfit to any event. Looks elegant and classic! Photo credits to Beyonce's instagram page.

Valentine

If I was a DJ for just one day, on this day so called Valentine's day, then these three songs wouldn't miss in my list. If you love music then let Alexa dj for you this.!!!enjoy!! #1.Katchua #2. Dream-now this song is having some video challenge #3. Greatest love-Ciara