Skip to main content

Wema Sepetu launches her own Mobile App with her as a brand

this weekend the Tanzanian sweet heart, Wema Sepetu launched her own mobile app, becoming the first african woman in the continent to have that. Congrats to her!!!!
This is what she wrote on her instagram page,

Kwanza Kabisa nichukue nafasi hii Kusema Asante Mungu wangu kwa kunifanikisha kukamilisha kile ambacho nimekuwa nikikitamani na ambacho nimefanyia kazi kwa takribani ya miezi Mitano mpaka kufika siku hii ya leo... Lakini pia niseme Asante kwa Familia yangu yote kwa ujumla, Bila kusahau mashabiki wangu wapenzi kwa kunipa moyo wa kutokukata tamaa japokuwa kuna mengi ambayo kwa binadamu wa kawaida huwezi vumilia Ila kiukweli mashabiki wangu mmekuwa mnanipa nguvu na Courage everyday... Najisikia Fahari sana Leo hii kuwa Mwanamke wa Kwanza Barani Africa Kuwa na MobileApp inayonitangaza mimi Mwenyewe kama Content.... Kwa kutumia hii App unaweza kupata chance ya kupata zile habari zote za uhakika kuhusu Wema Sepetu... Kuna vingi ambavyo pia unaweza kupata kama Video Clips, Audio na Pictures kwa wale watumiaji wa Smart Phone... Lakini pia kwa wale wasio na Smart phone basi unapata Habari na Matukio mbali mbali kuhusu mimi ambayo sio Longo longo... Trust me with this app kuna mengi saaana mtakayoyapata... Ni Rahisi sana Una tuma Neno "Wema" kwenda namba 15404 and u are done.... Asanteni sana.... Nawapenda Mno... Huduma hii ipo Applicable kwa Mitandao Yote Tanzania.... What are u waiting for...?


Pictures from the event

we love some Wema Sepetu
with her manager, the talented Martin Kadinda, this guy got lots of brains..


With the minister

With mummy dearest. beautiful

what would be an event without bae? he must be looking at the picture and saying am a lucky guy..

Comments

Popular posts from this blog

Beyonce's outfit

A fashion inspiration from queen Bee. The kitenge "african prints, or ankara" is on point. Just thought that this will give someone an idea for a weekend outfit to any event. Looks elegant and classic! Photo credits to Beyonce's instagram page.

My views on the cryptocurrency world

A friend of mine mentioned to me something about cryptocurrency thing two years ago and i really never paid attention to it, mostly because i thought about the money theft and hacking things to do with internet. Then another friend of mine in Philippines told me again about this topic of cryptocurrency and how it is beginning to rock the world of money and investment, and i decided to give it my attention and start learning about it, just the basics of where to buy the coins,how to store them, how to sell and the charges involved, the types of them (bitcoin, litecoin, ethereum,zcash etc), their values, which one is leading, dropping, the knowledge of mining, renting and etc. It is basically a lot of information that one needs to really know what they are doing before investing. Watched alot of youtube videos explaining this concept of investment, and the wow! factor was that the value of investment is growing like a little too much and faster someone invested around $200 on bi...

The" Pambana na Hali yako "

Pambana na hali yako is one of the swahili phrase trending in Tanzania. In English one would translate it as " cope with your situation" but in my own translation i would  say "be brave to fight your life battles'' i am one among the people that have been using it so much, and just recently i watched a certain comic video by one of the famous Tanzanian comedian called "Mpoki"' . It made me sit down and  think for the first time, what does "pambana na hali yako" really means to an individual?to me? Well i got five thoughtful things It means that one must be willing to endure, persist and solve the puzzles that life gives him/her, one must manage everything that life throws at them. One must stay strong for him/her self and for the people that depend on him/her given any hardship, challenge.  One must be hopeful as long as s/he is still breathing. There is always a light at the end of the tunnel, no matter how long it takes. ...